Diamond City Expansion (major expansion to Diamond City with many new NPCs, cells, buildings and more) That last one, the DC Expansion, adds so many new buildings, signs and billboards that the zone shown by bloodhound's photo is cluttered with many new visual obstructions, and there's no opportunity for pop-in.
Malipo ni hapa hapa duniani! ------- Msanii Diamond Platnumz, akizungumza leo, Machi 31, 2026, katika mahojiano maalum na kituo cha redio cha Wasafi FM, Diamond ameeleza kusikitishwa kwake na namna serikali inavyomwaga rasilimali nyingi kwenye mchezo wa mpira wa miguu, wakati muziki ukipewa kipaumbele wakati wa kampeni za kisiasa pekee.
Diamond alirelease nyimbo yake ya nne na kuweka record ya kuwa msanii wa kwanza na pekee kujaza Club Maisha hadi watu kushindwa kuingia na hata wengine kuzimia baada kutokupata hewa ya kutosha kutokna na wingi ujaaji huo.
Diamond Platnumz, nyota wa Bongo Fleva, amesema anaogopa kuzungumzia masuala yanayohusu Serikali wakati wa mahojiano katika kituo chake cha redio, Wasafi FM. Akijibu swali kuhusu jitihada za Serikali kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, chini ya Paul Makonda na Mwana FA...
Fallout 4 Commonwealth in Unreal Engine 5 - Flyby - Sanctuary to Diamond City - Automated porting v2
Wadau habari zenu? Hili suala la diamond platnumz kuhusishwa na kupoka nyota za wasanii wenzake, hasa wale wanaofanya vizuri kwa kipindi fulani, limeshika kasi sasa. Hivi karibuni kumekuwa na mijadala mbalimbali mitandaoni kuhusu kupokwa kwa nyota ya msanii Jay melody aliyetamba ni nyimbo...
Picha ya Diamond Platnumz aliyopigwa Summer Jam 2025 yauzwa pesa ndefu, TSh Milioni 1.3 na Getty Images Kampuni kubwa inayojulikana kimataifa kwa upigaji picha za wasanii wakubwa na matukio makubwa, Getty Images, imetangaza rasmi kuuza picha moja ya Diamond Platnumz kwa $499 (Tsh Milioni 1.3/=)...